ADVERT

29 October, 2007

mratibu wa tukio


Bw. Godbless G Marikini mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mkutano wa mafamasia wanafunzi na wafanyakazi ya afrika mashariki iliyofanyika jijini Dar jumamosi iliyopita kujadili juu ya ugonjwa wa malalia na HIV. Godbless pia ni mwanafunzi wa mwaka wa3 wa afamasia pale muhimbili

No comments: